Baada ya dhiki mavuno
11 July 2023
Naamini kila mtu na siku yake. Muziki tunafanya kwa bidii na mashabiki wamekubali kazi. Sitachoka kusubiri ila shukurani kwa Mungu na wote wanao support muziki kenya na dunia nzima jumla.. Mr nana mnyamwez
11 July 2023
Leave your comment