RIDHIKA - LISBON RYLICS

Unalia huna kiatu; ona yule hata pakuvalia hana,
Unanung'unika tu uu; unasahau na mazuri ya jana,
Usitete katu uuuuh ;kila siku we zidi kazana,
Siku zote tuu uuuh; Atembea nawe maulana...

Ridhika na ushukuru,
Kuwa na imani gizani kuna nuru,
Minyororo itakatwa uwe huru,
Usikate tamaa upo kwenye msururu......x2.

Yule akibarikiwa usimuonee wivu,
Akiinuliwa usimpake majivu,
Ondoa lawama ajua yako maumivu,
Imara simama na uwe mvumilivu...
Akibarikiwa usimuonee wivu,
Akiinuliwa usimpake majivu,
Ondoa lawama ajua yako maumivu,
Imara simama na uwe mvumilivu...

Ridhika na ushukuru,
Kuwa na imani gizani kuna nuru,
Minyororo itakatwa uwe huru,
Usikate tamaa upo kwenye msururu.......x2

Amekupa hiki, wataka pia kile,
Kakupa huyu, wataka pia yule,
Una huku, wataka pia kule,
Badala ya hili, watenda lile,
Amekupa hiki, wataka pia kile,
Kakupa huyu, wataka pia yule,
Una huku, wataka pia kule,
Badala ya hili, watenda lile

Ridhika na ushukuru,
Kuwa na imani gizani kuna nuru,
Minyororo itakatwa uwe huru,
Usikate tamaa upo kwenye msururu.......

Leave your comment