AMANI
20 March 2017
Maze naomba ma youth pamoja na wakenya wenzangu wazalendo,tudumishe AMANI wakati huuvwa elections & after
sisi sote ni mandugu na twahitajiana..Nifae Leo nami ntakufaa kesho.
@wafulazerubbabel@gmail.com
sisi sote ni mandugu na twahitajiana..Nifae Leo nami ntakufaa kesho.
@wafulazerubbabel@gmail.com
Leave your comment