TANZANIA: Vanessa kutokushiriki tamasha Mombasa Rocks Music
7 October 2016
Hitmaker wa nyimbo ya ‘Niroge’ Vanessa Mdee amesema hatoshiriki katika tamaha hilo linalotarajiwa kufanyika jumamosi hii tarehe 8 Mombasa nchini Kenya, ambalo linajumuisha msanii kali kutoka Marekani Chris Brown, Wizkid pamoja Alikiba.
Kupitia mtandao wa Instagram, Vanessa aliandika maneno haya:
Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Leave your comment