Parroty ,Lewa lyrics ft Kabagazi,Oneboy &Mejja[Download]
25 June 2021
[Image Source: Parroty Instagram]
Yoh Paroty, vipi Oneboy
Leo tutese bana
Kabagazi, yoh, leo ni kuchafua my friend
Leo niko out nimekuja kutesa
Kesho siko job ni kulala fofofo
Waiter leta drinks tunakunywa kumaliza
Usituone hivi hivi tumekuja na pesa
Pewa, lewa (Na si ulewe tu)
Pewa, lewa (Na si ulewe tu)
Pewa, lewa (Na si ulewe tu)
Pewa, lewa
Ati leo niko na mbogi hatari
Tena hatari niko na hadi na gari
Kabagazi aka ganji
Sina kinywaji waiter mtiaji
Ah kidogo tu, kidogo tu
Waitress amebeba tippin
Is it me or my drink is pickin
Sipping sipping am sipping
Aiyaya, Vunulu
Peremende pombe yangu usiweke mchele
Leo nameza hata kama ni tembe
Ndio nilewe mpaka nibebwe
Leo niko out nimekuja kutesa
Kesho siko job ni kulala fofofo
Waiter leta drinks tunakunywa kumaliza
Usituone hivi hivi tumekuja na pesa
Pewa, lewa (Na si ulewe tu)
Pewa, lewa (Na si ulewe tu)
Pewa, lewa (Na si ulewe tu)
Pewa, lewa
Leo lazima nipatikane (Okay)
Na ka Tusker ama cane
Pewa chupa usilambe lambe
Wapi chaser iko pande gani?
Ng’ang’o, Whiskey, hanjam hanjam mingi
Mi nataka jo niteke toto
Na msupa tulewe hadi kesho
Shorts kamino, booti, voodoo
Chapa toto ukimaliza keiyo
Leo niko out nimekuja kutesa
Kesho siko job ni kulala fofofo
Waiter leta drinks tunakunywa kumaliza
Usituone hivi hivi tumekuja na pesa
Pewa, lewa (Na si ulewe tu)
Pewa, lewa (Na si ulewe tu)
Pewa, lewa (Na si ulewe tu)
Pewa, lewa
Sunguchula, amekaa amekaa
Kibakuli fiti titi
Sishindi mwana, oshi sindi
Aiyayaya amalwa amalwa
Eeh mchunge dem wako bana
Naeza mchapa hadi kesho mchana
Kako tipsy bado nakaongeza shada
Mi nipe Whiskey Dj cheza tu mabanger
Peremende pombe yangu usiweke mchele
Leo nameza hata kama ni tembe
Ndio nilewe mpaka nibebwe
Leo niko out nimekuja kutesa
Kesho siko job ni kulala fofofo
Waiter leta drinks tunakunywa kumaliza
Usituone hivi hivi tumekuja na pesa
Pewa, lewa (Na si ulewe tu)
Pewa, lewa (Na si ulewe tu)
Pewa, lewa (Na si ulewe tu)
Pewa, lewa
Leave your comment