EXCLUSIVE (TANZANIA) – Album mpya toka kwa Stamina 'Mt Uluguru' kitaani ijumaa hii

<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1453455885_1498_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;">&nbsp;</p>
<p style="text-align: justify;">&nbsp;</p>
<p style="text-align: justify;">Msanii wa muziki nchini Stamina hatimaye ameachia album yake iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu &lsquo;Mt Uluguru&rsquo;.</p>
<p style="text-align: justify;">Album hiyo yenye jumla ya nyimbo 20 inauzwa kwa gharama ya shilingi 5000 tu.</p>
<p style="text-align: justify;">Stamina amesema album hiyo ipo kwenye mfumo wa CD na itakuw na nyimbo 20, lakini kwa ile ya mtandaoni itakuwa na nyimbo za ziada 6.</p>
<p style="text-align: justify;">Wasanii walioshirikishwa katika album hiyo ni pamoja na Fid Q, Chid Benz, Stara Thomas, Linah, Rich Mavoko, Jux, Peter Msechu na wengine.</p>
<p style="text-align: justify;">Source: Bongo 5 &nbsp;</p>

Leave your comment