Killy and Cheed Quit Alikiba’s Kings Music Record Label

By Paul A.

Follow Us on Google News

The Kings Music group under bongo star Alikiba has lost two artistes after Killy and Cheed decided to depart from the label.

Through their social media accounts, the musicians noted that they had decided to voluntary quit Kings Music while at the same showing gratitude to Alikiba.

Killy noted that he left the group on good terms while calling on Ali Kiba to bless him in his endeavors.

Naitwa Ally Killy Omary almaarufu kama killy nikijulikana kama msanii wa @kingsmusicrecords......... napenda kuwajulisha fans wangu watu wangu wote waliokuwa wakisupport mziki wangu na wanaoendelea kussuport kazi zangu na hata wasiosupport pia ni kwamba kuanzia leo hii napenda kutamka kuwa mimi sio tena msanii wa @kingsmusicrecords nimeamua hili kwa akili yangu timamu kabisa bila kushawishiwa na mtu wa aina yeyote ile na sijatumia kilevi chochote kile ni maamuzi yangu tu binafsi na ni kwa ajili ya muendelezo wa mziki wangu.Alikiba amekuwa ni mtu muhimu sana kwenye maisha yangu amekuwa ni mtu ambae amenionyesha njia na kuniaminisha mimi pamoja na mziki wangu mbele ya jamii Inshallah mwenyezi mungu amlipe kwa kila alichonifanyia na kujitolea kwa ajili ya mziki wangu namshkuru sana,”posted Killy.

Interestingly, in his post, Cheed shared the same message just like Killy with only name edits.

It is not clear why the two musicians decided to part ways with Ali Kiba.

By press time, Kiba had commented on the news.

Leave your comment