Harmonize is no longer at WCB – Diamond’s Manager Sallam SK confirms (Video)

Diamond Platnumz Manager Sallam SK has disclosed that Harmonize is no longer at WCB Wasafi and he has already tabled a letter requesting to terminate his contract with the label.

Speaking during an Interview on Wasafi FM, Sallam confirmed that the WCB Management received his request with a good heart and they have scheduled a meeting that will see everything settled.

"Harmonize kwa sasa hivi ndani ya Moyo wake Hayupo WCB, Lakini Kimkataba Bado Yupo WCB. Harmonize ameshatuma barua ya maombi yaku terminate mkataba wake na yuko willing kupitia vipengele vyote vya sheria kuweza kuterminate Mkataba wake, Hicho ni kitu ambacho tumependezewa nacho, ambacho yeye mwenye ameridhia na ameandika barua kuomba kikao na uongozi. Ni Mtu ambaye amesimama na anafuuata sharia na ameona labda imefikia wakati ameamua yeye kujiendeleza na kumove na labda kuna vitu alikuwa anaona vinamubana na anaona kifanya pekee yake atafika mbele Zaidi.


Read More on Pulse Live

Leave your comment