Lyrics

Mpaka Sasa katika zile timu 6 kubwa katika Ligi kuu ya EPL ni timu mbili tu ambazo hazijafanya usajili wowote lakini Kuna tetesi za timu hizo kutaka baadhi ya wachezaji ambao wengine wanaonesha kutokuwa na Nia ya kujiunga na baadhi ya timu hizo. Manchester United pamoja na Chelsea ni timu zilizokubali baadhi ya wachezaji wake waondoke katika klabu hizo lakini wao mpaka Sasa Hakuna usajili walioufanya, Ila Kuna baadhi ya wachezaji wanaotakiwa kujiunga na timu hizo ambao ni wafuatao.

RAHEEM STERLING
Ikiwa bado haijawa rasmi kwa Muiingereza anayechezea timu ya Manchester City Raheem Sterling kuhamia Chelsea baada ya kudumu katika klabu hiyo kwa takribani miaka 7, Sasa mshambuliaji huyo wa Manchester City Raheem Sterling amekuwa mawindoni na timu ya Chelsea ambayo iko mbioni kusaka huduma yake katika msimu huu. Chelsea inasemekana iko tayari kutoa kitita Cha Paundi milioni 35 ili kumsajili Sterling lakini City wao wanahitaji dau la Paundi milioni 60 na kumuuza Sterling. Sterling anaweza kuwa mchezaji anayetarajiwa kuziba pengingo la Lukaku anayehamia Inter Milan kwa mkopo.

View more

Mdundo.com is one of Africa's leading music services! The company aims to provide Africa with easy and legal access to online entertainment and reach millions of people across Africa every month. Mdundo enables artists to keep track of fans, downloads and royalties paid in July and January every year.

By downloading MP3 music from Mdundo.com YOU become part of supporting African artists! You can get the latest music, top mixes and your favorite playlists from top artists across Africa. Mdundo also gives you easy access to the hottest podcast, sports and religious content.

Mdundo is also working with top partners across Africa including Vodacom, MTN, Airtel, Safaricom, Universal Music, Warner Music, Opera and many more to make music accessible for all. Mdundo.com A/S is a publicly listed company and Nasdaq First North Growth Market in Copenhagen, Denmark.

I am a musician! - Log in or Sign up