Lyrics

Ikiwa bado dirisha la majira ya joto likiwa linaendelea kusukuma gurudumu, Timu nyingi zinaendelea kukimbizana ili kuwapata wachezaji wanaotakiwa kutengeneza vikosi vitakavyo kuwa Bora zaidi katika misimu wa 2022/23. Wafuatao ni wachezaji wanaotakiwa kuagana na timu zao kwa msimu huu na kujiunga na timu zingine.

ROBERT LEWANDOWSKI.
Kinara wa magoli Bundesliga, Robert Lewandowski (33), anatarajiwa kukimbilia La liga na kwenda kukichapa huko Barcelona ikiwa bado Barcelona hawajapata saini yake lakini tayari straika huyo kutokea Poland ameonesha Nia yake ya dhabiti kabisa kuondoka katika Klabu hiyo ya Bayern Munich ambao hawako tayari kumuacha ajiunge na timu nyingine. Lewandowski kwa Sasa ndio chaguo la kwanza kwa Barcelona huku Bayern wakiwa wanahitaji kiasi cha Pound milioni 43 ili waweze kuagana na straika huyo. katika mechi 46 alizozicheza akiwa na Bayern kwa msimu uliopita Lewandowski ameweka kambani jumla ya magoli 50 na kumfanya awe kinara wa magoli Bundesliga.

View more

Mdundo.com is one of Africa's leading music services! The company aims to provide Africa with easy and legal access to online entertainment and reach millions of people across Africa every month. Mdundo enables artists to keep track of fans, downloads and royalties paid in July and January every year.

By downloading MP3 music from Mdundo.com YOU become part of supporting African artists! You can get the latest music, top mixes and your favorite playlists from top artists across Africa. Mdundo also gives you easy access to the hottest podcast, sports and religious content.

Mdundo is also working with top partners across Africa including Vodacom, MTN, Airtel, Safaricom, Universal Music, Warner Music, Opera and many more to make music accessible for all. Mdundo.com A/S is a publicly listed company and Nasdaq First North Growth Market in Copenhagen, Denmark.

I am a musician! - Log in or Sign up