Lyrics

Baada ya kukosa kuwasajili washambuliaji wawili hatari zaidi katika Soka ambao ni Kylian Mbappe wa PSG aliyeongeza mkataba na timu hiyo pamoja na Eirling Haaland aliyeamua kukimbilia Manchester City, Sasa Real Madrid imesemekana kutupia jicho lake kwa mshambuliaji wa Tottenham Hotspurs Son Heung Min (29) katika dirisha hili la majira ya joto.

Real Madrid inasemekana kumtaka mshambuliaji huyo mwenye asili ya Korea Kusini katika msimu huu, mchezaji huyo akiwa ndiye kinara wa magoli kwa msimu uliopita katika Ligi kuu ya Uingereza akifungana na mchezaji wa Liverpool Mohamed Salah kwa kuweka kambani jumla ya mabao 23 na kushinda kiatu Cha dhahabu kwa msimu ulioisha wa 2021/22.

Suala lenye ukakasi linaweza kuja katika kumhamisha mashambuliaji huyo ni Je Antonio Conte Yuko tayari kuachana kinara huyo wa magoli ajiungea na miamba hiyo ya La Liga?, na huku katika msimu uliopita wa majira ya joto Son aliongeza mkataba utakaoisha mwaka 2025 huko Tottenham.
View more

Mdundo.com is one of Africa's leading music services! The company aims to provide Africa with easy and legal access to online entertainment and reach millions of people across Africa every month. Mdundo enables artists to keep track of fans, downloads and royalties paid in July and January every year.

By downloading MP3 music from Mdundo.com YOU become part of supporting African artists! You can get the latest music, top mixes and your favorite playlists from top artists across Africa. Mdundo also gives you easy access to the hottest podcast, sports and religious content.

Mdundo is also working with top partners across Africa including Vodacom, MTN, Airtel, Safaricom, Universal Music, Warner Music, Opera and many more to make music accessible for all. Mdundo.com A/S is a publicly listed company and Nasdaq First North Growth Market in Copenhagen, Denmark.

I am a musician! - Log in or Sign up