TANZANIA: Diamond na Zari watarajia mtoto mwingine
1 August 2016
Familia ya Diamond Platnumz inatarajia kupata mdogo wake Tiffa.. Hayo yametololewa na familia hiyo mara baada ya kupost kwenye mtandao wa snapchat .... na kuandika " This Kiss goes to my unborn son! " huku zari akionekana na Tumbo kubwa hii inadhihirisha kuwa soon familia hiyo itapata mtoto mwingine.
Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Leave your comment