TANZANIA: {PICHA} Tamasha la Mwendokasi lafana

 

Tamasha la MwendoKasi limefana siku ya tarehe 30 Julai huku stejini kukiwa kumeshambuliwa na wasanii lukuki wanaofanya vizuri katika tasnia ya muziki. Baadhi ya wasanii hao ni AliKiba, Sauti Sol, Navy Kenzo, Snura, Christian Bella, Mr Blue, Juma Nature, Isha Mashauzi, Gnako, Nuh Mziwanda, Barnaba, Mani Fongo, Quick Rocka na wengine wengi.

 

Unaweza kutazama hapa baadhi ya picha za tamasha hilo la MwendoKasi:

 

Nahreel

 

Nahreel

 

Aika Navy Kenzo

 

Aika na Vanessa

 

Aika na Vanessa

 

Vanessa

 

Jux na Joh Makini

 

Joh Makini

 

Mr. Blue

 

 

Isha Mashauzi

 

Nahreel

 

Roma Mkatoliki

 

Nay wa Mitego

 

Sauti Sol na Alikiba

 

Sauti Sol

 

Alikiba

 

Alikiba na Nuh Mziwanda na wachezaji wake

 

Nuh Mziwanda na Alikiba

 

 

Snura na wachezaji wake

 

 

 

Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz

Leave your comment