TANZANIA: {PICHA} Tamasha la Mwendokasi lafana
1 August 2016
Tamasha la MwendoKasi limefana siku ya tarehe 30 Julai huku stejini kukiwa kumeshambuliwa na wasanii lukuki wanaofanya vizuri katika tasnia ya muziki. Baadhi ya wasanii hao ni AliKiba, Sauti Sol, Navy Kenzo, Snura, Christian Bella, Mr Blue, Juma Nature, Isha Mashauzi, Gnako, Nuh Mziwanda, Barnaba, Mani Fongo, Quick Rocka na wengine wengi.
Unaweza kutazama hapa baadhi ya picha za tamasha hilo la MwendoKasi:
Nahreel
Nahreel
Aika Navy Kenzo
Aika na Vanessa
Aika na Vanessa
Vanessa
Jux na Joh Makini
Joh Makini
Mr. Blue
Isha Mashauzi
Nahreel
Roma Mkatoliki
Nay wa Mitego
Sauti Sol na Alikiba
Sauti Sol
Alikiba
Alikiba na Nuh Mziwanda na wachezaji wake
Nuh Mziwanda na Alikiba
Snura na wachezaji wake
Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Leave your comment