TANZANIA: Sina mahusiano na Sam Misago – Mwasiti

 

Hata hivyo Mwasiti ameiambia Enews kwamba hana mahusiano ya kimapenzi na mtangazaji maarufu hapa nchini Sam Misago wa EATV ambapo amesema kuwa yeye na Sam ni washkaji wa muda mrefu takribani miaka saba iliyopita na kuomba mashabiki zake wajue kuwa yeye ni mchumba wa mtu ambaye sio maarufu.

 

Sam Misago

 

Mwasiti aliendelea kusema kwamba anaomba mashabiki zake wasimuelewe vibaya kwani hapo awali aliahidi kutoa wimbo wake wa HIP HOP lakini imekuwa tofauti kutokana na Fid Q kushindwa kumuandikia mistari kwa wakati kama alivyokuwa ametarajia.

 

Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz

 

Leave your comment