TANZANIA: Feza Kessy aachia video ya ‘Sanuka’ akiwa na Chege!

<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1455009823_5761_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;">&nbsp;</p>
<p style="text-align: justify;">Mwanadada Feza Kessy, baada ya kutoa wimbo wake wa &lsquo;Sanuka&rsquo; mwaka jana mwishoni akiwa ameshirikiana na msanii toka kundi la Wanaume Family, Chege Chigunda sasa ameakusogezea video mpya ya wimbo huo.</p>
<p style="text-align: justify;">Feza Kessy pia aliwahi kushiriki shindano la Big Brother Africa, na kwa sasa anafanya muziki wa Bongo Fleva.</p>
<p style="text-align: justify;">Video ya &lsquo;Sanuka&rsquo; imeongozwa na Hascana na kufanyika hapahapa nchini Tanzania.</p>
<p style="text-align: justify;">Tazama hapa video hiyo;</p>
<p style="text-align: justify;"><iframe src="https://www.youtube.com/embed/8txoAPjl0-k" width="560" height="315" frameborder="0" allowfullscreen=""></iframe></p>

Leave your comment