NEW MUSIC (TANZANIA): Nyimbo Mpya Kutoka Kwa Wildad - Aisha

Msanii toka lebo ya The Industry inayomilikiwa na Navy Kenzo, Wildad amepata kuzindua nyimbo “Aisha" inayopatikana mitandao kadhaa ya kupakua miziki ikiwepo mdundo.com na mingineyo. Ili kuona video hii tazama ukurasa wa “The Industry TZ” YouTube. 

Katika uzinduzi msanii huyo aliweka bayana kuhusu msichana mrembo aitwaye Aisha, ni jina lililopo akilini mwake kila akiwa anaandika nyimbo. Nyimbo hii ina maadhi ya RNB pamoja na afro pop na pia wimbo huu umepikwa katika studio ya The Industry chini ya mtahayarishaji mahiri Nahreel.

Video hii imeongozwa na Bang Films, lakini dhana nzima iliandaliwa na Aika wa Navy Kenzo pamoja na timu nzima ya The Industry.

Tazama video hapa:

https://youtu.be/l4KTSxqgOlc

 

Latest News

Tiwa Savage Offers Exclusive Behind The Scenes To 49-99

Nonini Set to Drop Fourth Album Featuring Top African Artists

Diamond's Hails Zuchu after Featuring on Apple Music Artists to Watch List

5 Biggest Aslay Songs Since Ditching Yamoto Band

President Magufuli Honors Diamond with Presidential Hat

Rayvanny Outshines Harmonize to Become Second Most Followed Tanzanian Musician on YouTube

Yemi Alade Set To Appear In Another Movie

Wande Coal's 7-Track Project Available For Pre-Order Ahead Of Official Release

Eddy Kenzo Hails Bobi Wine’s Wife, Terms Her a Great Inspiration

Emmy Kosgei Drops New Video ‘Maloo’

 

Leave your comment