NEW MUSIC (TANZANIA): Nyimbo Mpya Kutoka Kwa Wildad - Aisha
17 July 2017
Msanii toka lebo ya The Industry inayomilikiwa na Navy Kenzo, Wildad amepata kuzindua nyimbo “Aisha" inayopatikana mitandao kadhaa ya kupakua miziki ikiwepo mdundo.com na mingineyo. Ili kuona video hii tazama ukurasa wa “The Industry TZ” YouTube.
Katika uzinduzi msanii huyo aliweka bayana kuhusu msichana mrembo aitwaye Aisha, ni jina lililopo akilini mwake kila akiwa anaandika nyimbo. Nyimbo hii ina maadhi ya RNB pamoja na afro pop na pia wimbo huu umepikwa katika studio ya The Industry chini ya mtahayarishaji mahiri Nahreel.
Video hii imeongozwa na Bang Films, lakini dhana nzima iliandaliwa na Aika wa Navy Kenzo pamoja na timu nzima ya The Industry.
Tazama video hapa:
Latest News
Tiwa Savage Offers Exclusive Behind The Scenes To 49-99
Nonini Set to Drop Fourth Album Featuring Top African Artists
Diamond's Hails Zuchu after Featuring on Apple Music Artists to Watch List
5 Biggest Aslay Songs Since Ditching Yamoto Band
President Magufuli Honors Diamond with Presidential Hat
Rayvanny Outshines Harmonize to Become Second Most Followed Tanzanian Musician on YouTube
Yemi Alade Set To Appear In Another Movie
Wande Coal's 7-Track Project Available For Pre-Order Ahead Of Official Release
Eddy Kenzo Hails Bobi Wine’s Wife, Terms Her a Great Inspiration
Emmy Kosgei Drops New Video ‘Maloo’
Leave your comment